HATIMAYE CHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT); WATANGAZA MGOGORO NA SERIKALI.

Raisi CWT
Gratian Mukoba
Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimetangaza mgogoro na Serikali kwa kile walichodai kutofanyiwa kazi madai yao mbalimbali yakiwamo malimbikizo ya mishahara na likizo ya walimu zaidi ya Sh61 bilioni.
Rais wa Chama cha Walimu Tanzania Gratian Mukoba alisema jana kuwa, katika madai hayo.............................. Soma zaidi
CHANZO: Tovuti Gazeti, Mwananchi