TUZO YA MWALIMU BORA ZAIDI DUNIANI YAZINDULIWA

Tuzo hiyo yenye thamani ya dola milioni moja, itakabidhiwa mwalimu ambaye anafanya kazi ya ualimu na ambaye atathibitisha kuwa mchango wake kwa jamii umekuwa bora zaidi kuliko walimu wengine wote duniani.
Soma zaidi hapa.
chanzo: bbcswahili.com