AJIRA MPYA ZA WALIMU MWAKA 2014 MBIONI KUTANGAZWA MWISHONI WIKI HII.

Jumla ya Walimu wapya 36,021 ambao wamehitimu mwaka 2013 kutoka vyuo mbalimbali hapa nchini wataajiriwa rasmi na Mamlaka za Serikali za Mitaa (Halmashauri) ifikapo tarehe 01 Aprili 2014. Kati ya idadi hiyo walimu wa ngazi ya Cheti (Daraja III A) ambao hufundisha katika shule za Msingi ni 17,928 na walimu wa shule za sekondari ni 18,093 (wakiwemo 5,416 wa Stashahada na 12,677 wenye shahada).
Orodha rasmi ya walimu wapya itangazwa kwenye
tovuti ya Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI na ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ifikapo tarehe........ Soma Zaidi

9TH EXHIBITIONS ON HIGHER EDUCATION, SCIENCE, TECHNOLOGY AND INNOVATION DIAMOND JUBILEE HALL, DAR ES SALAAM,TANZANIA.

The Tanzania Commission for Universities (TCU) wishes to inform all stakeholders and the general public that, the 9thExhibitions on Higher Education, Science and Technology will be held from 21st to 23rd May 2014 at the Diamond Jubilee Hall, Dar es Salaam, Tanzania. The lead organizers of these exhibitions are the Tanzania Commission for Universities (TCU), the Ministry of Education and Vocational Training (MoEVT) and.......... Read More